Mwanadada wa kibongo mkali wa kuchezea mpira ndani ya kanga

Mwanadada wa kibongo ambye ni wa kwanza bongo kua na kipaji cha ajabu cha kusakata soka kuliko njembaz, hivi karibuni aliwaondoa wanaume gugumizi pale walipo mtaka athibitishe kama kweli yeye ni balaa kwa kuuzungusha mpira atakavyo huku akiwa amevalia khanga. Amini usiamini hivi ndivyo alivyo fanya kweli.